Sunday, March 20, 2016

Vikosi vya Kenya na al-Shabab vyapigana



Image copyrightReuters
Image captionWanajeshi wa Kenya wanasema waliwaua wanamgambo 21 wa al shabbab
Kumekuwa na mapigano kati ya wanajeshi wa kenya na wanamgambo wa al-Shabaab katika eneo la Lower Juba nchini Somalia.
Kuna ripoti za kukanganya kuhusu maafa.
Wanajeshi wa Kenya wanasema kuwa walivisiwa lakini wakafanikiwa kuwaua wanamgabo 21 licha ya wao kupoteza wanajeshi wawili.
Al-Shabab nao wanadai kuwa waliwaua wanajeshi 20 wa Kenya wakawakamata wawili na kuharibu magari yao sita.
Mapigano hayo yalitokea kwenye barabara inayoelekea mji wa Afmadow ambapo wanajeshi wa kenya waliwaua wanamgambo 19 wa al-Shabab siku ya Jumatano.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment