Sunday, March 20, 2016

Upigaji kura waendelea Congo Brazzaville



Image copyright
Image captionRais Denis Sassou Nguesso amekuwa madarakani kwa miaka 32
Upigaji kura unaendelea nchini Congo Brazzaville ambapo wapiga kura wanamchagua rais mpya kutoka kwa wagombea tisa.
Rais wa sasa Denis Sassou Nguesso ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 32 anagombea urais kwa muhula mwingine wa miaka mitano.
Utawala umeamrisha makampuni mawili makubwa zaidi ya mawasiliano kufunga mifumo yote ya mawasiliano leo Jumapili na Jumatatu kutoka na sababu za kiusalama.
Mapema leo, upigaji simu kwenda Congo haukufanikiwa. Waziri wa mawasiliano nchini humo Thierry Moungalla aliiambia BBC kuwa hatua hiyo ilichukuliwa ili kuuzuia upinzani usichapishe matokeo yake vile ulivyohaidi wakati wa kampeni.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment