Katika barua hiyo ndefu, yenye kichwa cha habari "ndugu Obama," rais wa zamani wa Cuba, aliyejiondoa madarakani mwaka 2006, amemkebehi Rais Obama kwa hotuba aliyoitoa machi 22, siku ya mwisho ya ziara yake mjini Havana, ziara ambayo ni ya kwanza kwa rais wa Marekani tangu miaka 88
Kwenye barua iliyochapishwa katika gazeti la serikali ya nchi hiyo la Granma kiongozi huyo ameonekana akikosoa ziara hiyo.
Fidel Castro, aliyemkabidhi kakake Raul madara zaidi ya miaka 10 iliyopita, amesema Cuba haihitaji zawadi zozote kutoka Marekani.
Fidel Castro ametupilia mbali pendekezo la Bw Obama kwamba wakati umefika wa kuunda urafiki na kuzika masalio ya Vita Baridi vya barani Amerika, huku akikumbusha kuhusu uvamizi wa Bay of Pigs uliofanywa na wakimbizi wa Cuba wakisaidiwa na Marekani mwaka 1961.
Amewaonya raia wa Cuba kutoweka akilini ahadi za Rais Obama, na kuwasihi kuwa maeneo yake ni sawa na “rojo ya sukari”, na kuwataka kutoyafuata.
Kwenye barua iliyochapishwa katika gazeti la serikali ya nchi hiyo la Granma kiongozi huyo ameonekana akikosoa ziara hiyo.
Fidel Castro, aliyemkabidhi kakake Raul madara zaidi ya miaka 10 iliyopita, amesema Cuba haihitaji zawadi zozote kutoka Marekani.
Fidel Castro ametupilia mbali pendekezo la Bw Obama kwamba wakati umefika wa kuunda urafiki na kuzika masalio ya Vita Baridi vya barani Amerika, huku akikumbusha kuhusu uvamizi wa Bay of Pigs uliofanywa na wakimbizi wa Cuba wakisaidiwa na Marekani mwaka 1961.
Amewaonya raia wa Cuba kutoweka akilini ahadi za Rais Obama, na kuwasihi kuwa maeneo yake ni sawa na “rojo ya sukari”, na kuwataka kutoyafuata.
No comments:
Post a Comment