Thursday, March 31, 2016

Davido awapongeza D’banj na Banky W kwa mchezo wao wa ku***ga nje.




Davido
Staa wa muziki Nigeria amewapongeza wasanii wawili wakubwa ambao wamekuwa na wanawake wakali nje na ndani ya Nigeria ila hawajawahi kuwa na watoto au BABY MAMA.
Tofauti na 2Baba, Wizkid, Olamide, Flavour, Ice Prince, Duncan Mighty, Timaya wote hao wana watoto bila ndoa, D’banj na Banky W bado hawana watoto na ni nikutokana na mchezo wao wa PULL OUT GAME au KUMWAGA NJE.
Shabiki mmoja amemshauri Bank W kufanya wimbo wa MY PULLOUT GAME
.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment