Monday, March 28, 2016

NEYO NA DIAMOND PLATNUMZ KUPANDA JUKWAA MOJA JIJINI MWANZA



neyo


Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani Ne-yo athibisha ujio wake nchini  Tanzania katika tamasha kubwa la Jembeka Festivallitakalofanyika jijini Mwanza mwezi Mei mwaka huu.Ne-Yo performs during the Grammy Nominations Concert in Nashville, Tennessee

Kupitia ukurasa wao Jembe ni Jembe ambao ndio haswa watayarishaji wa shoo hiyo wameandika hivi “Ne-yo &Dimond Platnumz live at the Grand Jembeka Festival,usikose show hii ya kihistoria mwanza 21/05/2016 kwa Tsh 10,000”

Katika Shoo hiyo atakuwepo pia Diamond Platnumz ambapo nae kwa sasa yupo katika ‘tour’ yake ulaya.mama15-marquee-diamond-800x451

Kumbuka wawili hao wako katika matayarisho ya ngoma yao ambapo Diamond amemshirikisha Ne-yo, kwamujibu wa Diamond Platnumz alisema video yake itafanyikia ulaya na Afrika.

Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment