Monday, March 28, 2016
NEYO NA DIAMOND PLATNUMZ KUPANDA JUKWAA MOJA JIJINI MWANZA
Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani Ne-yo athibisha ujio wake nchini Tanzania katika tamasha kubwa la Jembeka Festivallitakalofanyika jijini Mwanza mwezi Mei mwaka huu.
Katika Shoo hiyo atakuwepo pia Diamond Platnumz ambapo nae kwa sasa yupo katika ‘tour’ yake ulaya.
Unknown
Web Developer
Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment