Monday, March 28, 2016
TAARIFA MPYA KUHUSU UJENZI WA BOMBA LA GESI
Wizara ya Nishati na Madini Inaendesha mkutano na wafanyabiashara wa mafuta nchini ambao utalenga kuibua fursa zitakazo jitokeza katika mradi wa ujenzi wa bomba la Mafuta litakalo jengwa kuanzia HOIMA
Akizungumza na wanahabari Katibu mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Profesa Justin Ntalikwa amebainisha fursa zitakazojitokeza kupitia mradi huo kuwa ni pamoja na kupata tenda, ajira kwa vijana, kodi
“Mradi huo utapitia nchini lakini pia utaibua fursa mbalimbali zikiwemo ajira,tenda na utaongeza pato la Taifa kupitia ukusanyaji wa kodi”. Alisema
Unknown
Web Developer
Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment