Sunday, March 27, 2016

Watu 30 wauwawa Iraq na wengine 80 kujeruhiwa



Maafisa wa usalama wanasema mshambuliaji alitegua milipuko katika uwanja wa michezo kilomita 40 kusini mwa mji mkuu wa Baghdad.
Shambulizi la bomu katika uwanja wa mpira wa miguu nchini Iraq
Shambulizi la bomu katika uwanja wa mpira wa miguu nchini Iraq
Maafisa wa Iraq wanasema shambulizi la kujitoa muhanga Ijumaa usiku limeuwa takriban watu 30 na kujeruhi wengine zaidi ya 80.
Maafisa wa usalama wanasema mshambuliaji alitegua milipuko katika uwanja wa michezo kilomita 40 kusini mwa mji mkuu wa Baghdad.
Shirika la habari la Ufaransa limeripoti kuwa shambulikzi lilizuka wakati maafisa walipokuwa wanatoa vikombe vya ushindi kwa wachezaji kwenye mashindano ya mpira wa miguu.
Kundi la Islamic State limedai kuhusika na shambulizi hilo.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment