Sunday, March 27, 2016

Polisi Pakistani wakabiliana na waandamanaji



Image copyrightGetty
Image captionWaandamanaji wafuasi wa Mumtaz Qadri

Polisi nchini Pakistani wamekabiliana na waaandamanaji kwa kuwafyatulia mabomu ya kutoa machozi katika mji mkuu wa Islamabad ambao walikuwa wakiandamana kupinga hatua ya mpiganaji wa kiislamu kunyongwa.
Qadri alinyongwa mwezi uliopita baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya gavana wa Punjap Salman Taseer aliyoyafanya miaka mitano iliiyopita. Bwana Taseer alikuwa alikuwa akimtetea mwanamke wa kikristo aliyefungwa jela kutoka na makosa ya kukufuru. Wafuasi wa Mumtaz Qadri wanamuona muuaji huyo kama shujaa wa kidini.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment