Usiku wa March 27 Mastaa Izzo B na Stamina waliidondosha burudani kwa watu wao waMbeya au Green City kwenye show iliyopewa jina la HOME SWEET HOME iliyofanyika katika ukumbi wa Viva night lounge, show ambayo hufanyika kila mwaka mkoani hapo.
Kama kawaida, kazi yangu ni kuhakikisha kuwa hupitwi na lolote linalonifikia na tayari nimekusogezea hizi picha picha 23 kutokea pande hizo.
Warembo na pozi zao, huyu jamaa sasa pembeni…
Hapa ni kabla ya show, jamaa anapata kinywaji kwanza
kutokea kushoto Mrembo Ashley, Producer Dupy wa uprise music na mrembo Amina
Kutokea kushoto Stamina na Izzo B
Stamina akiwaamsha watu wake wa Mbeya
Mc wa show hiyo Adam Solinza
Stamina kwenye hisia za burudani na watu wake
Wengine hawakutaka kupitwa na kumbukumbu yani
Izzo B akiitoa burudani kwa watu wake
Producer Dupy na Izzo B wakisalimia mashabiki
Izzo B On stage
Kubambia pia hakukuwa mbali na mashabiki yani
Burudani ikikolea ruksa kujiachia
Full shangwe kwa mashabiki
Mc wa show Ashley On stage
No comments:
Post a Comment