Wachezaji Andy Murray na Heather Watson wote wamesonga mbele katika michuano ya wazi ya Miami.
Murray akicheza katika mazingira magumu ya hali ya hewa amemshinda Denis Istomin kwa seti 6-3 7-5.
Kwa upande wake Watson amemshinda Yanina Wick-mayer seti 3-6, 7-5, 6-3 katika mchezo uliodumu masaa mawili na nusu.
Kwa upande mwingi Briton Aljaz alilazimika kutoka nje ya mchezo kutokana na jeraha la mkono, huku Jamie Murray akipoteza mchezo wake.
No comments:
Post a Comment