Saturday, March 19, 2016

Mahakama yamzuia Lula kuchukua wadhfa Brazil



Image copyrightAFP
Image captionAliyekuwa rais wa Brazil Lula da Silva
Mahakama ya juu zaidi nchini Brazil imemzuia rais wa zamani Luis Inacio Lula da Silva kuteuliwa kuwa mkuu wa utumishi wa umma.
Uamuzi huo sasa unairudisha kesi dhidi yake kuhusu ulanguzi wa pesa mahakamani .
Kumekuwa na hatua za kisheria kukabiliana na kuteuliwa kwake katokana na madai kuwa alikuwa akilindwa kutokana na uchunguzi wa kuhusika kwenye ufisadi.
Uamuzi wa hivi punde unatolewa muda mfupi baada ya Lula kuhutubia maelfu ya watu katika mkutano wa kuiunga mkono serikali mjini Sao Paulo.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment