Friday, May 13, 2016

Tyga na Kylie Jenner ndio basi tena..


Tyga na Kylie Jenner  wameripotiwa kuachana ikiwa sio zaidi ya mwaka mmoja toka wameanza kuwa kwenye mahusiano yao.
Kwa mujibu wa tovuti ya udaku ya TMZ, Tyga na Kylie wameachana siku chache baada ya kwenda pamoja kwenye usiku wa Met Gala,
Inasemekana wameachana vibaya huku Kylie akisema  Tyga alialikwa kwenye Met Gala sababu anatoka na yeye ila sio staa wa kualikwa kwenye shughuli kubwa kama hio.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment