Wednesday, April 6, 2016
WATUMISHI HEWA 4,317 WAFUTWA KAZI SERIKALI KUU
AGIZO la Rais John Magufuli la kuwataka viongozi sehemu za kazi kuondoa watumishi hewa, limesaidia watumishi hewa 4,317 wa Serikali Kuu kufutwa baada ya kufanya uhakiki katika kipindi cha mwezi mmoja kuanzia Machi mosi hadi Aprili 4, mwaka huu.
Unknown
Web Developer
Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment