Saturday, April 30, 2016
BALOZI IDDI AKUNWA NA UJENZI WA DARAJA LA NYERERE
Makamu wa rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametembelea daraja la Mwalimu Nyerere, Kigamboni, ambapo amewataka watanzania kuwa na imani na serikali yao kwenye miradi mbalimbali inayopangwa kutekelezwa na wahakikishe miradi hiyo wanaitumia katika kuwanufaisha.
Unknown
Web Developer
Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment