Wednesday, April 20, 2016

Idadi ya waliokufa Ecuador yazidi 500


Image copyrightAFP
Image captionTakriban watu 2000 hawajulikani waliko
Serikali nchini Ecuador inasema kuwa idadi ya watu waliouawa kwenye tetemeko kubwa la ardhi la siku ya Jumamosi, imeongezeka hadi zaidi ya watu 500.
Naibu waziri wa mambo ya ndani (Diego Fuentes) ameonya kuwa idadi hiyo huenda ikaongezeka zaidi kwa sababu waokoaji wanazidi kukosa matumaini ya kupata manusura zaidi.
Takriban watu 2000 bado hawajulikani waliko. Watu 20,000 wameachwa bila makao kufuatia tetemeko hilo la uzito wa 7.8 katika vipimo vya richa lililoikumba nchi hiyo.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment