Saturday, April 2, 2016
SERIKALI YAITANGAZIA NEEMA TTCL
SERIKALI imetangaza azma ya kuifanyia maboresho na mageuzi makubwa kampuni ya simu nchini (TTCL) ili iweze kuendesha kwa ubia mkongo wa mawasiliano ya Taifa. Na kwamba hatua hiyo itaifanya TTCL kuwa moja ya kampuni kubwa za mawasiliano nchini ambayo itatoa huduma zake kwa ufanisi na tija kubwa kwa wateja wa kampuni hiyo.
Unknown
Web Developer
Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment