Friday, April 15, 2016

Mbwa wa Manchester watambua tamutamu pekee



WanyamaImage copyrightPA
Image captionMbwa hao waligundua tamutamu na nyara ya pori
Ripoti moja inasema kwamba mbwa wa kunusa katika uwanja wa Manchester Uingereza wamekosa kugundua mihadarati katika kipindi cha miezi saba.
Hata hivyo mbwa hao wanaweza kunusa tamu tamu kama vile jibini na soseji kutoka kwenye mikoba ya wageni wanaofika kwenye uwanja huo.
Mbwa hao sita wanaogharimu dola milioni mbili za Kimarekani kuwatunza walipata mafunzo ya kutambua mihadarati, tumbaku, pesa, nyama ya pori.
Hata hivyo kwa kipindi cha miezi saba maafisa wa uhamiaji wamesema walishindwa kupata dawa za kulevya aina ya kokeini na heroini.
Ripoti hii inapendekeza matumizi ya mbwa hao yabadilishwe.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment