Saturday, April 2, 2016

Marekani: Muda unayoyoma kwa Burundi



Image copyrightReuters
Image captionBurundi
Afisa wa daraja ya juu wa Marekani, anasema wakati unapita kwa serikali ya Burundi.
Nchi hiyo imekuwa katika ghasia tangu mwaka jana, pale Rais Pierre Nkurunziza alipoamua kuwania muhula wa tatu wa uongozi.
Mamia ya watu wameuawa tangu wakati huo, na milioni moja wamekimbia.
Marekani na Umoja wa Ulaya zimeiwekea vikwazo Burundi.
Wakati akizuru Burundi, waziri mdogo wa Marekani anayeshughulika na haki za kibinaadamu, demokrasi na ajira, (Tom Malinowski), alisema karibu serikali itapata shida kujiendeleza na kulipa wanajeshi.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment