Thursday, April 7, 2016

MANNY PACQUIAO ATAWEZA TENA?


Bondia Manny Pacquiao anarudi Ulingoni kwa mara nyingine mara baada ya mapunziko kwa miezi 11 baada ya kuchezea kipigo dhidi ya bondia May-Weather,

Mpambano huo ulizua maneno mengi kwa wapenzi wa mchezo huo kuamini kuwa Mayweather ilipewa alama ili kutengeneza Rekodi yake .

Pacquiao mwenye miaka 37 atastafu mchezo huo baada ya  pambano lake analo liita la mwisho na bondia Timmothy Bradly kutoka Uingereza ambaye pia aliwahi kuchezea kichapo cha Bondia May Weather.Timothy-Bradley-Jr-Vegan-Diet

Bondia Pacquiao anakusudia kuingia katika siasa ambapo wananchi wa Philipino wanataka aingie bungeni na yeye ndio lengo lake kubwa

Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment