Sunday, April 3, 2016
Wanasema idadi ya wanaume wanene imeongezeka mara tatu, nayo ya wanawake ikaongezeka mara dufu.
Wanazihimiza serikali kuchukua hatua za pamoja, hasa kuhusu bei ya vyakula.
Viwango vya unene miongoni mwa wanaume kilipanda kutoka 3.2% mwaka 1975 hadi 10.8%, na miongoni mwa wanawake viwango vya unene vilipanda kutoka 6.4 % mwaka 1975 hadi 14.9%.
Unknown
Web Developer
Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment