Thursday, April 7, 2016

Urusi kutowaamini wataalam wa UN



Rais wa Urusi Vladimir Poutine, wakati wa mkutano katika Ikulu ya Kremlin, Moscow, Machi 17, 016.
Rais wa Urusi Vladimir Poutine, wakati wa mkutano katika Ikulu ya Kremlin, Moscow, Machi 17, 016.
REUTERS/Alexei Nikolsky/Sputnik/Kremlin


Serikali ya Urusi inazuia kutolewa kwa nyaraka za siri za ripoti ya Umoja wa Mataifa kuonesha namna waasi wanaoungwa mkono na serikali ya Sudan, wanavyochimba madini katika jimbo la Darfur.

Urusi imeamua kuzuia kuwekwa wazi kwa ripoti hiyo kwa umma kutokana na uhusiano wa karibu na serikali ya rais Omar Al Bashir.
Moscow inasema imechukua hatua hiyo kwa sababu haiwaamini watalaam wa Umoja wa Mataifa waliotekeleza uchunguzi wao.
Serikali ya Khartoum imekuwa ikishtumiwa kuendelea kuwaunga mkono waasi wanaofanya shughuli zao katika migodi ya dhahabu katika jimbo hilo tata.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment