Tuesday, April 5, 2016

Ufaransa yajiandaa kwa "Euro 2016"


Image copyrightGetty
Image captionBernard Cazeneuve
Wafanyakazi wa huduma ya dharura nchini Ufaransa wamefanya zoezi la kujihami na mashambulizi ya kigaidi katika viwanja vya mpira na maeneo mengine yatakayotumika kwa mashindano ya mpira barani ulaya yanayotarajiwa kuanza mwezi June.
Waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo, Bernard Cazeneuve amesema serikali yake imeamua kufanya jaribio hilo ili kuhakiki kuwa mfumo mzima utawezesha michuano hiyo ya "Euro 2016" kwenda salama kutokana na tishio la usalama dhidi ya nchi hiyo .
Wakati waziri wa afya , Marisol Touraine amesema maandalizi hayo yamefanyika kama tahadhari ili tukio la Novemba mjini Paris lisijirudie.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment