Thursday, April 7, 2016

Suarez,Vardy na Aubameyang ndio bora Ulaya



Image captionSuarez
Mshambuliaji wa kilabu ya Barcelona Luis Suarez aliyefunga mabao mawili siku ya Jumanne dhidi ya Atletico Madrid,alikuwa chaguo la wengi kama mshambuliaji bora barani katika ligi hiyo ya Ulaya msimu huu.
Image copyrightPA
Image captionVardy
Kati ya watu 20,250 walioshiriki ,7,342 walimchagua raia huyo wa Uruguay zaidi ya mara mbili ya aliyechukua nafasi ya pili ,mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy aliyepata kura 2,994.
Image copyrightGetty
Image captionAubameyang
Mshambuliaji wa Borrusia Dortmund Pierre-Emerick Aubemeyang alichukua nafasi ya tatu akiwa na kura 1989,mbele ya mchezaji bora wa shirikisho la soka duniani mwaka huu Lionel Messi aliyejipatia kura 1779 naye mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane akipata kura 1684.
Utafiti huo umefanywa na BBC.
Image copyrightAFP GETTY
Image captionLionel Messi
Matokeo kamili ni kama yalivyoorodheshwa hapa:
  • 1. Luis Suarez (7,342 - 36%)
  • 2. Jamie Vardy (2,994 - 15%)
  • 3. Pierre-Emerick Aubameyang (1,989 - 10%)
  • 4. Lionel Messi (1,779 - 9%)
  • 5. Harry Kane (1,684 - 8%)
  • 6. Cristiano Ronaldo (1,017 - 5%)
  • 7. Zlatan Ibrahimovic (801 - 4%)
  • 8. Robert Lewandowski (766 - 4%)
  • 9. Sergio Aguero (582 - 3%)
  • 10. Gonzalo Higuain (337 - 2%)
  • 11. Other (268 - 1%)
  • 12. Neymar (240 - 1%)
  • 13. Romelu Lukaku (234 - 1%)
  • 14: Gareth Bale (129 - 0.6%)
  • 15: Thomas Muller (88 - 0.4%)
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment