Saturday, April 2, 2016

El-Clasico: Barcelona kumenyana na R Madrid



Image copyrightGetty
Image captionBarcelona dhidi ya Real Madrid
Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid Zinedine Zidane amesema kuwa yeye na wachezaji wake hawana shinikizo yoyote kabla ya mechi ya El Clasico kati ya Real Madrid na Barcelona katika uwanja wa Nou Camp.
Viongozi wa ligi Barcelona wako pointi 10 mbele ya wapinzani wao na wanakaribia kushinda taji la tatu katika misimu minne.
Image copyright
Image captionZidane
Real Madrid ambayo ilitawazwa mabingwa wa La Liga mnamo mwaka 2012 iko katika nafasi ya tatu huku ikiwa kuna mechi nane zilizosalia.
''Nimetulia,Hii ni soka na nitajifurahisha,''alisema Zidane siku ya Ijumaa.
Unknown Web Developer

Morbi aliquam fringilla nisl. Pellentesque eleifend condimentum tellus, vel vulputate tortor malesuada sit amet. Aliquam vel vestibulum metus. Aenean ut mi aucto.

No comments:

Post a Comment